Monday, January 30, 2012

HAKUNA MAPENZI YA LAZIMA JAMANI

Mwanaume mmoja'Aliyeshikwa nyuma ya picha' amemfungia mke wake kwenye chumba alichomwaga petroli na kuwasha mshumaa ili kumuua mwanamke huyo baada ya kudai talaka Christopher  Hanney 46, cha kushangaza na cha ajabu kama mmeshindwa kuelewana basi ni vyema mkaachana kwa usalama kuliko kufanya mambo ya ajabu kama haya , maana kama umekataa kuacha unampenda na sasa mbona unataka kuua? mapenzi hayalazimishwi jamani................

No comments:

Post a Comment