Tuesday, May 28, 2013

WAMASAI WANAITA ENDUTUNYO, MAMBO YA UNYAYO HAYO

Mnyama unyamani yaani na pembe lake chezea
Hot fashion now, kitu kama cha batiki hivi
kama treni vile ukiumie umejigongesha mwenyewe
Two in one
ukikivaa ndo unakielewa zaidi

Tuesday, May 21, 2013

IM LOVING JULIANA KANYOMOZI TODAY

  Ni mama wa mtoto mmoja wa kiume anyejulikana  kama Keron Kabugowhose father is Amon Lukwago, a Ugandan businessman. In 2006, she had a temporary romantic relationship with US-based Ugandan boxer Kassim Ouma. habari ndo hiyo
Vilele anajulikana kama mmoja kati ya majaji wa show kubwa inayohusiana na muzoki katika nchi za Africa Mashariki TPF,Tusker projeck fame
 Mbali na hayo ameanza kufahamika zaidi mwanzoni mwa miaka ya 90 Juliana  Kutokana kazi yake nzuri na umahuri wa sauti yake nzuri juu ya muziki  pia alikuwa  kwenye kundi la Vive la Vie was a popular record on Ugandan radio stations at that time. After the duo disbanded,
Juliana launched a solo career that has included the release of such popular songs as:
  • Say Yes
  • Nabikoowa
  • Nkulinze
  • My heart
  • Diana (originally released by the late Philly Lutaaya)
  • Alive again
  • All I wanna know
  • Seven days
  • Usiende mbali
  • Libe'esanyu
  • Kanyimbe
  • Malaika Wange
  • My Heart
Juliana Kanyomozi is a cousin to King Oyo, the reigning Omukama of Toro, in Western Uganda. Juliana's father and King Oyo's father were biological brothers.

Na hizi na baadhi ya tuzo ambazo aliwahi kujishindia kutokana na kazi yake ya Muziki

  • 2004 Pearl of Africa Music Awards - Best R&B Artists 
  • 2005 Pearl of Africa Music Awards - Best R&B Artists & Best Female Artist & Song of the Year ("Mama Mbiire" with Bobi Wine) & Best R&B Single ("Nabikowa")
  • 2006 Pearl of Africa Music Awards - best rnb artist/group
  • 2006 Tanzania Music Awards - best Ugandan song ("mama mbire")
  • 2007 Pearl of Africa Music Awards - Best R&B Artiste/Group
  • 2008 Pearl of Africa Music Awards - Artist of the Year & Best R&B Artiste/Group & Best Female Artist
  • 2010 Tanzania music awards - Best East African Song ("Haturudi Nyuma" with Kidum)
  • 2010 Diva awards Uganda - best RNB artist-"kantambule naawe"
  • 2011 East African music awards - best female artist-"alive again"
  • 2011 diva music awards Uganda - afrobeat diva-"sanyu lyange"
  • 2012 S.A Hipipo Charts Female Artist
  • 2012 Best Hipipo Charts video Act (Sanyu lyange)
  • 2012 Best Hipipo Charts Afro-Beat (Sanyu lyange)
  • 2012 Best International afrobeats act at BEFFTA Awards (U.K)
  • 2012 Most Gifted artist- Super talent awards Uganda
  • 2012 Best Female Artist EastAfrica- Kora Awards { I am Ugandan}
  • 2013 Warid Women of substance- entertainment award

I LOVE CYNTHIA STYLE

NEON EVERYWHERE

Thursday, May 16, 2013

KWA TUNAO MKUBALI JULIE GICHURU

Julie Gathoni Sumira au unaweza ukamuita  Mrs Gichuru Akiwa na Mumewe)
Pamoja na kuwa mke, amebarikiwa kuwa mama wa watoto  wanne watatu wakiwa wa kiume na mmoja ni wa kike
Julie aliwahi kufanya kazi katika kituo kimoja kinachojulikana kama CAPITAL FM kabla ya kuhamia katika kituo cha Television cha Kenya Television Network ambapo kwa kipindi hicho alikuwa akifanya  vipindi vya habari za uchunguzi juu ya  Rushwa, mambo ya uhalifu na kutokuwepo kwa usawa nchini Kenya
 kabla  ya kuzunguka mpaka kufikia Royal Media Servirce" Citizen tv"
She is of mixed race with her father’s family is originally from Kashmir and her mother’s family was from Kiambu. Her grandfather was born in Kabete. She lived along Wanyee Road in Dagoretti, Nairobi in her early childhood.[2] Gichuru holds an LLB Law and an MBA from Cardiff Law School University of Wales and Cardiff Business School University of Wales resepctively Cardiff[1]

Career

Julie Gathoni Sumira Gichuru is a Kenyan journalist and News Anchor currently working for Royal Media Services as Group Digital Business Manager and Talk Show Hos
She is a recipient of Martin Luther King Salute to Greatness Award
Vilevile aliwahi kushiriki kwenye mdaharo wa marahisi wa kwanza uliowahi kufanyika Kenya(kabla ya kutawala kwa Uhuru Kenyata)
Hayo ni machache kwa wale tunao mpenda na kuvutiwa na kazi za mwana mama huyu , mrembo, aliye elimika na kujitambua  Julie Gichuru na kumbuka kwam a LIFE IS THE PERFOMANCE NOT REHEARSAL ili kumfikia Julie please perform.

RASTA NI KATI NYWELE ZISIZO PITWA NA WAKATI