Tuesday, August 9, 2011

REST IN PEACE SAM LOCO EFE

Habari za huzuni na za kushtua zimelikumba soko la burudani ya filamu nchini Nigeria na Afrika kwa ujumla baada ya kuondokewa na mtu muhimu na anayekubalika kwa kazi zake katika Tasnia ya Uigizaji.
Sam  loco efe ambaye ni comedian mzuri tu amefariki juzi akiwa chumbani kwake( hotelini) walipokuwa wameenda kurecord movie yao mpya. Mbali na uigizaji pia alikuwa mtunzi, mwandishi wa script na ni muimbaji pia na anatambulika kama mmoja ya watu muhimu katika movie ya THING FALL APART ,wengi wetu tunaijua enzi za secondary.
MUNGU AILAZE ROHO YA SAM LOCO EFE MAHARI PEMA PEPONI , AMINA

No comments:

Post a Comment