Wednesday, August 10, 2011

MR BEAN APATA AJALI

Mchekeshaji Rowan Atkinson aka Mr. Bean, apata ajali ya gari na kuharibu gari yake yenye thamani ya £650,000, sport car hiyo imeharibika sehumu kubwa kwa mbele na upande wa milango, lakini mwenyewe ameumia kidogo tu.


Mzigo ndo huo tena

No comments:

Post a Comment