Sunday, August 28, 2011

NDOA YA JIBU KWA J-Z NA BEYONCE

Beyonce ameamua kuweka hadharani sasa  kuwa yeye ni mjamzito baada ya minong'ono na umbea umbea kwa watu wanaopenda kuzunguamzia vitu wasivyo uhakika navyo

Kama picha zinavyomuonesha, Mimba haijifichi wakati ukifika mtajua tu, maana kunawatu wanazizunguamzia mimba za watu za mwezi mmoja tu.
 Habari ndo hiyo


div>

No comments:

Post a Comment