Friday, September 23, 2011

KAREN AMEAMUA KUIFIKIA JAMII SASA

By the way this is new look ya Karen katika fashion magazine

Hivi karibuni, mdada alitembelea kituo cha yatima huko mjini Jose NIGERIA na kutoa misada mbali mbali kwa watoto wa kituo hiko

                                                                     Peace and love

                                               Hawa ni baadhi ya watoto katika kituo hiko

Inavutia na kupendeza kwa watu kama hawa kuikaribia jamiii kwa ukaribu zaidi.

No comments:

Post a Comment