Tuesday, September 13, 2011

HAKIKA SEPTEMBER HII HAITASAHAULIKA KWA TANZANIA

Haita sahaulika kwa sababu ya ajali kubwa mbili zilizotokea septermber 10 huko Zanzibar na Septermber 12 huko Kenya
Hawa ni baadhi ya watu waliokuwa wanasuburi msada wa kuokolewa kutoka hapo walipokuwa

Hawatakaa wasahau kamwe watu hawa

Mmoja kai ya watu aliopoteza wapendwa wake kutokana na ajali ya meli akifarijiwa  hapa

Hii ilikuwa Duwa ya kuwaombea wote waliotangulia mbele ya haki kutokana na ajali hiyo

No comments:

Post a Comment