Tuesday, September 13, 2011

HII NDO ILEEEEE AJALI YA NDEGE ILIYOTOKEA CONGO


Inasemekana watu kumi waliokuwa kwenye ndege walitolewa kwenye mabaki ya hiyo ndege wakiwa hai. Pia wanasema hawajui watu wangapi wamekufa waliokuwa kwenye eneo ilipoanguka. Wanasema imeanguka kwenye soko.



No comments:

Post a Comment