| Cake ni chama lake.....MAN U |
| presedent Misago |
| Marygoreth ndo wa kwanza kula Keki chezea yeye! |
| Together tunawakirisha |
| Tumeshaona SAM |
| Producer ( bhoke ) anamlisha mwanae keki |
| Rais wa wanafunzi hapitwi huyu |
| Zamu ya mama kula keki ikafika |
| Zamzama naye akapata kipande chake japo aliomba na take away...L.OL. |
No comments:
Post a Comment