Friday, February 3, 2012

MH JAKAYA MRISHO KIKWETE AUDHURIA SHEREHE ZA SIKU YA SHERIA NCHINI


Raisi Jakya Mrisho kikwete akisalimiana  katika Viwanja vya Mahakama Kuu Jijini Dra es salaam Leo februari 03na kupokewa na jaji mkuu Mh.Mohamed Chande Othuma nyuma yake, Spika Anna Makinda

Raisi Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia kalenda aliyozawadiwa na jaji mkuuMh.Mohamed Chande Othuman baada ya kuhutubia katika siku ya Sheria Tanzani .


Raisi Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia katika maadhimisho ya siku ya sheeria Tanzania tarehe 3 Februari

No comments:

Post a Comment