Mtoto Azrah,kiwa amepakatwa na baba yake mzazi nje ya mahakama na mama yake yake mzazi nje ya mahabusu ya mahakamakuu jijini Mbeya wakatiwalipofikishwa kwa ajili ya kesi inayowakabili ya kukutwa na madawa ya kulevya
IGP,Hafiz Ringim wa Nigeria ameamua kujiuzulu kutokana na mambo na migogoro inayo endelea nchini mwao,IGP ameandika barua ya kujiuzuru leo asubuhi akifuatiwa na wakuu wengine sita
Mwanaume mkubwa katika famili ya kabila hili huvaa mfupa puani,yaani mtu kam baba ama kaka mkubwa, pia wanaume wote huvaa bomba linalotokana na miti inayotoka huko kwao na kuvisha uume wake ili kujistiri
awanawake wa kikombai wao huvaa mkusanyiko wa mifupa shingoni kama cheni kwa ajili ya kumtambulisha kama yeye i mwanamke pia kumpamba kama mwanamke anavyotakiwa lakini chini huvaa sketi fupi ambayo hutengenezwa kwa njuzi za mizizi, kamaba, ngozi
Wakomai hao
Watu kawaida wanaishi eneo lenye msitu mkubwa na nyuma zao huwa juu kwa urefu wa mita 30 mpaka 100 kutoka ardhini na wanajenga hivyo kwa ajili ya kujilinda na maadui zao pamoja na kutafuta utulivu kutikana na mazingira ya maisha yao
wakombai ni kabila linaloamini ka kuwa lilipotea na wamejulikana miaka 25 ilyopita katika misitu ya PAUPAU MAGHARIBI MWA NEW GUNIE, na inasadikika walikuwa wenge zaidi ya 4,000 mbao walisambaa kwa sababu mabli mbali na pia wanaongea lugha zinazotofautiana
Kombai ni wawindaji amambao uwinda na kutafuta chakula kwa umbali mrefu sana na vyakula wanavyokula ni watudu ,wanyama na matunda( wanakula nyoka, samaki n afunza nanguruwe , majani , ndege na vitu vya aina hizo)