Wednesday, September 28, 2011
HAWA NDO NAWAFEEL ILE MBAYA KWENYE MEDIA SASA HI VI KWA UPANDE WA TV
| Fatma Almasi Nyangasa wa ITV |
![]() |
| Godwin Gondwe wa ITV |
![]() |
| Zamaradi mketema wa CLOUDS TV |
![]() |
| Ivon Msemembo wa ITV |
Kiukweli hawa wanaivutia kwa kazi zao na muonekano wao, unapoangalia vipindi vyao unajua nini wanafanya kwa kuwa wanakupa information za kutosha na za kueleweka, wanajiamini kupitiliza wanapendeza yaani hawa nawakubali kiukweli.
NOTE: Wapo wengine ninaowakubali lakini sijaweweka kwa kuwa ni sehemu ninayofanyia kazi watu wasije ona napendelea bure.......................nitakuletea na wa redio kwa siku nyengine.
Tuesday, September 27, 2011
MALE/FEMALE MIDLIFE CRISIS
Nilikuwa nasoma soma articles mbalimbali nikakutana na jambo hili baada ya kusoma nikagundua ni la muhimu sana kufahamu.Sijui namna ya kuuiita MALE MIDLIFE CRISIS kwa kiswahili ila nimefahamu yafuatayo.
Ni kipindi ambacho mwanaume anajiuliza maswali mengi kuhusu maisha yake na kutokuridhishwa na mengi yanayoendelea.Hiki ndio nimekifanyia kazi kwa ujana wangu?hiki ndio nilitarajia kupata wakati nimekuwa mwanaume?Hapo inakuwa mbaya zaidi kama hajatimiza malengo yake.Ubaya unakuja bila wao kujua uchungu wote wa kutokutimiza malengo anauhamishia kwa mkewe.
Atatoka na kwenda kufanya vitu vitakavyomfanya ajihisi yeye bado kijana na matumaini mapya.Hapo ndio wengine hutelekeza familia zao,kulewa,kubadili wanawake kama nguo tena vibinti vidogo.Matokea hapo yanakuja atafilisika pesa itaishi na kuzidi kudidimia na kusambaratisha familia.
Haya yote yanatokea kwa sababu wanaume wamefundishwa kukaa kimya kufa na tai shingoni lakini haitakiwi kuwa hivyo....zungumza.
Hiki ni kipindi kibaya sana kwa wanaume wengi kwenye stage hii huweza kuishia kujiua.
Na ili kumsaidia mwanaume kama huyu lazima mke ujue tatizo ni hili na umsupport badala ya kupigizana nae kelele.Kivipi sasa?
Hii habari nimeitoa kwa blog ya Dina marious, nimeisoma nikaona hiki ni kitu cha msingi ambacho ni cha kweli na kinasumbua hasa, ndo nikataka kujua kama na kwa wamawake ipo hii?
Nikagundua kuwa na kwa wanawake ipo pia lakini kuna utofauti kidogo, mwanamke inaweza mpata kutokana na mambo haya :MABADILIKO YA UMBILE NA IKATOKEA AKACHUKIA MABADILIKO HAYO
:AMA AKAONA ANAFANYA KAZI KWA BIDII NA NGUVU SANA LAKINI HAONI MAFANIKIO YA KAZI HIYO
Na vitu vidogo vidogo vingi lakini woe kati ya mwanamke ma mwanaume wanapitia stage moja ya kupata
Ni kipindi ambacho mwanaume anajiuliza maswali mengi kuhusu maisha yake na kutokuridhishwa na mengi yanayoendelea.Hiki ndio nimekifanyia kazi kwa ujana wangu?hiki ndio nilitarajia kupata wakati nimekuwa mwanaume?Hapo inakuwa mbaya zaidi kama hajatimiza malengo yake.Ubaya unakuja bila wao kujua uchungu wote wa kutokutimiza malengo anauhamishia kwa mkewe.
Atatoka na kwenda kufanya vitu vitakavyomfanya ajihisi yeye bado kijana na matumaini mapya.Hapo ndio wengine hutelekeza familia zao,kulewa,kubadili wanawake kama nguo tena vibinti vidogo.Matokea hapo yanakuja atafilisika pesa itaishi na kuzidi kudidimia na kusambaratisha familia.
Haya yote yanatokea kwa sababu wanaume wamefundishwa kukaa kimya kufa na tai shingoni lakini haitakiwi kuwa hivyo....zungumza.
Hiki ni kipindi kibaya sana kwa wanaume wengi kwenye stage hii huweza kuishia kujiua.
Na ili kumsaidia mwanaume kama huyu lazima mke ujue tatizo ni hili na umsupport badala ya kupigizana nae kelele.Kivipi sasa?
Hii habari nimeitoa kwa blog ya Dina marious, nimeisoma nikaona hiki ni kitu cha msingi ambacho ni cha kweli na kinasumbua hasa, ndo nikataka kujua kama na kwa wamawake ipo hii?
Nikagundua kuwa na kwa wanawake ipo pia lakini kuna utofauti kidogo, mwanamke inaweza mpata kutokana na mambo haya :MABADILIKO YA UMBILE NA IKATOKEA AKACHUKIA MABADILIKO HAYO
:AMA AKAONA ANAFANYA KAZI KWA BIDII NA NGUVU SANA LAKINI HAONI MAFANIKIO YA KAZI HIYO
Na vitu vidogo vidogo vingi lakini woe kati ya mwanamke ma mwanaume wanapitia stage moja ya kupata
- Shock
- Denial
- Depression
- Anger
- Acceptance
Friday, September 23, 2011
HIVI NI BAADHI YA VIVAZI VILIVYONIVUTIA KUTOKA HUKO LONDON FASHION WEEK
KAREN AMEAMUA KUIFIKIA JAMII SASA
![]() |
| By the way this is new look ya Karen katika fashion magazine |
![]() |
| Hivi karibuni, mdada alitembelea kituo cha yatima huko mjini Jose NIGERIA na kutoa misada mbali mbali kwa watoto wa kituo hiko |
Peace and love
Hawa ni baadhi ya watoto katika kituo hiko
![]() |
| Inavutia na kupendeza kwa watu kama hawa kuikaribia jamiii kwa ukaribu zaidi. |
Tuesday, September 20, 2011
Subscribe to:
Posts (Atom)





























