Huyu bwana anaitwa JUNRAY BARAWING kutoka UFILIPINO ambaye jana alitawazwa na wataalamu wa kile kitabu cha kuweka kumbukumbu za maajabu Duniani cha 'GUINNESS' kwamba kwasasa ndie mtu mfupi kuliko watu wooote wanaoishi Duniani kwasasa akiwa na urefu wa inchi 23 yaani cm 58 akiwa amepungua inchi 3 zaidi ya alikuwa akishikilia Record hiyo KAGHENDRA MAGAR kutoka Nepal! JUNRAY ametimiza miaka 18 juzi na kumfanya atambulike kama mtu mzima kwa sasa na ndipo Chief Editor wa 'GUINNESS' bwana CRAIG GRENDAY alipolazimika kutumia masaa 24 kumpima JUNRAY ili kujua kimo chake kamili kabla ya kumtawaza 'RASMI' kama mtu mfupi kuliko wooote Duniani alie hai kwasasa...
Monday, June 13, 2011
KIUKWELI WATU WANAO NIVUTIA TOKA BIG BROTHER MWAKA HUU NI......
Weza |
Age | 26 |
Hometown | Luanda |
Occupation | TV Presenter, Model |
Biography | She is super social and likes spending time with happy, fun, straight forward people, although she admits her bad habit is that she talks too much. She is currently single, and says she will miss her family when she goes into the House. Her favourite place in Angola is Luanda. |
Lomwe |
Age | 27 |
Hometown | Blantyre |
Occupation | Radio and Club DJ |
Biography | Lomwe, reckons he is handsome and lives like according to the following mantra: "ride till the wheels fall off". He hopes his charisma and great sense of humour will help him win the USD200 000, so he can open his own radio station at home in Malawi. |
VICHWA VYANGU VITANO VYA MOVIES NAZOZIPENDA
Idris Elba kama ulishawahi ona Same times
On April huyu ndo alikuwa muhusika mkuu.
Huyu jamaa ni Comedian mzuri ukimuangalia tu unacheka
kabla hajaongea , anayulikana kama Chriss Rock.
Sasa katika watu woote hawa, Hiki ndo kichwa
chenyewe, Huyu jamaa ni Actor, Director, Producer na
mambo mengine mengi yanayohusu Tasnia hii
anaitwa TYLE PERRY
Sanaa nayo ni Wito kama si uzalendo, Mambo ya kukaa
Uchi mbele zawatu inataka moyo.
Martin Lawrence, huyu hana hata haja ya
kumuelezea kwa kweli, ha ha ha
Thursday, June 9, 2011
WANAOKONGA MOYO WANGU KIMUZIKI NI.....
Tukianzia Nyumbani ni GRACE MATATA anafanya
kazi nzuri sana na ni vyema tuikubali tu.
Ty Bello mdada toka Naigeria kiukweli anafanya kazi
nzuri na zenye kueleweka , kwa sasa anamzigo mpya
unaoitwa The Future..we acha tu
Huyu bwana hata si elewi ni mapenzi yangu binafsi
ama ni kitu gani, ninachojua kwamba nampenda
yeye na kazi yake kwa ujumla
Huyu sasa kimuonekano tu, anafanana na Grace Matata lakini
kama ni msikiliazaji mzuri wa nyimbo za watu hawa wawili ( Grace & Asa)
Wako kwenye viwango vinavyo fanana ambapo ni kitu kizuri pia
kazi nzuri sana na ni vyema tuikubali tu.
Ty Bello mdada toka Naigeria kiukweli anafanya kazi
nzuri na zenye kueleweka , kwa sasa anamzigo mpya
unaoitwa The Future..we acha tu
Huyu bwana hata si elewi ni mapenzi yangu binafsi
ama ni kitu gani, ninachojua kwamba nampenda
yeye na kazi yake kwa ujumla
Huyu sasa kimuonekano tu, anafanana na Grace Matata lakini
kama ni msikiliazaji mzuri wa nyimbo za watu hawa wawili ( Grace & Asa)
Wako kwenye viwango vinavyo fanana ambapo ni kitu kizuri pia
KARIBU NYUMBANI BHOKE
Wednesday, June 8, 2011
My top 5 actress
Gabrielle Union is both an actress and a model. She has starred in 10 Things I Hate About You, Deliver Us From Eva, Daddy's Little Girl, and Bring It On. My favorite is Daddy's Little Girl.
mkali mwengine ni
Ni mama wa mtoto mmoja na yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanamziki maarufu tu Nigerian na Afrika
Tatu ni
Omotola Jalade-Ekeinde has been entertaining countless lives and courting our hearts on screen since the 90’s. With over 250 movies under her toga and still counting, the screensiren isn’t done yet.
Ila huyu ananikuna zaidi ya wote
kiukweli huyu dada anajua nini anafanya katika movies anazofanya , kama haujabahatika kuona kazi yake tafuta movies hizi, DIARY OF MAD BLACK WOMAN na COLORED GIRL na kwa sasa yupo Afrika anapiga mzigo unaoitwa TIE THAT BIND ,Omotola yumo humu pia.
kazi ya huyu si mbaya sana pia
Born: September 11, 1970
Washington, D.C., native Taraji P. Henson didn't always know that her smoldering charisma and beautiful face would make her a professional actress.
next ...tuta check upande wa music
mkali mwengine ni
Ni mama wa mtoto mmoja na yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanamziki maarufu tu Nigerian na Afrika
Tatu ni
Omotola Jalade-Ekeinde has been entertaining countless lives and courting our hearts on screen since the 90’s. With over 250 movies under her toga and still counting, the screensiren isn’t done yet.
Ila huyu ananikuna zaidi ya wote
kiukweli huyu dada anajua nini anafanya katika movies anazofanya , kama haujabahatika kuona kazi yake tafuta movies hizi, DIARY OF MAD BLACK WOMAN na COLORED GIRL na kwa sasa yupo Afrika anapiga mzigo unaoitwa TIE THAT BIND ,Omotola yumo humu pia.
kazi ya huyu si mbaya sana pia
Born: September 11, 1970
Washington, D.C., native Taraji P. Henson didn't always know that her smoldering charisma and beautiful face would make her a professional actress.
next ...tuta check upande wa music
Subscribe to:
Posts (Atom)