NYUMBANI
(Move to ...)
HOME
MAMBO MBALIMBALI
INAKERA
FAHAMU ZAIDI
INAVUTIA
HABARI
MITINDO
VIKOROMBWEZO
▼
Tuesday, September 13, 2011
HII NDO ILEEEEE AJALI YA NDEGE ILIYOTOKEA CONGO
Inasemekana watu kumi waliokuwa kwenye ndege walitolewa kwenye mabaki ya hiyo ndege wakiwa hai. Pia wanasema hawajui watu wangapi wamekufa waliokuwa kwenye eneo ilipoanguka. Wanasema imeanguka kwenye soko.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment